Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hans Van Pluijm apokea ofa kubwa

Jumanne , 22nd Mei , 2018

Baada ya sintofahamu kwa wiki kadhaa hatimaye klabu ya soka ya Singida United imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu Hans van der Pluijm, mwisho wa msimu huu baada ya kufikia makubaliano maalum baina ya pande zote mbili.

Akiongea na East Africa Television, Mkurugenzi wa Singida United Festo Sanga, amesema kuwa kocha huyo ameomba kuondoka baada ya kupokea ofa kubwa kutoka klabu mbalimbali za nyumbani, Africa na nje ya Africa.

''Ni kweli kocha Hans anaondoka mwishoni mwa msimu, tunasubiri fainali ya FA na baada ya hapo atatuaga rasmi. Kimsingi yeye mwenyewe ameomba kuondoka baada ya kupokea ofa kutoka kwa klabu kubwa za hapa na nje ya Africa pia'', amesema.

Kocha huyo wa zamani wa Yanga, ameiongoza Singida United msimu huu katika mechi 29 hadi sasa za ligi kuu, akishinda mechi 11, sare 11 na kufungwa mara 7. Ameisaidia timu hiyo iliyopanda ligi kuu msimu huu kushika nafasi ya 5.

Wakati huo pia amefanikiwa kuifikisha Singida United kwenye fainali ya Kombe la shirikisho nchini (ASFC), kutofungwa kwenye mechi zote 5 aa michuano hiyo hadi nusu fainali. Itacheza na Mtibwa Sugar kwenye fainali Juni 2.

Zaidi msikilize Festo Sanga hapo chini.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita