Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hofu ya zidane dhidi ya Liverpool

Jumanne , 22nd Mei , 2018

Katika kuelekea mchezo wa fainali wa mashindano ya klabu bingwa Ulaya, kocha mkuu wa timu ya Real Madrid Zinedine Zidane amesema kitu pekee anachohofia katika mchezo huo ni washambuliaji wa Liverpool wakiongozwa na Mohamed Salah.

Kwa mujibu wa gazeti la Independent, Zidane amesema hayo leo Mei 22, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari na kuongeza kuwa Liverpool ni timu bora baada ya kuwa na msimu mzuri katika ligi kuu ya England na pamoja michuano ya Ulaya na timu hiyo inayostahili kuwepo katika fainali ya klabu bingwa Ulaya.

“Ninachoogopa kuhusu hii timu (Liverpool), kinachozungumziwa ni wachezaji  watatu wa mbele au mapungufu ya safu ya ulinzi, wanastahili kuwepo katika fainali kama sisi, ni wachezaji wenye ukaribu sana, jukumu letu pamoja na benchi la ufundi ni kuhakikisha tunajiandaa vya kutosha na mchezo huo kujua mapungufu ya mpinzani wetu na kuwaadhibu” amesema Zidane.

Zidane ameongeza kuwa ikitokea amepoteza mchezo huo bado haitakuwa kama ni kushindwa bali jambo pekee aliloshindwa katika msimu huu ni kutolewa katika hatua ya Robo fainali dhidi ya Leganes katika kombe la mfalme “Copa del Rey” nchini Hispania.

Jumamosi Mei 26, 2018 mabingwa watetezi Real Madrid ya Hispania watakabiliana na klabu ya Liverpool kutoka England katika  mchezo wa fainali wa ligi ya mabingwa Ulaya katika Mji wa Kiev nchini Ukraine.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria