Jaylen Brown amefunga alama 25 amechukua Rebound 4
Katika mchezo huu Jaylen Brown amefunga alama 25 amechukua Rebound 4 na pasi za kufunga (Assist) 1 na Jason Tatum amefunga points 22 Rebound 12 na pasi za kufunga (Assist) 9 na kuisaidia Celtcs kushinda na kuongoza Series kwa 3-2.
Kwa matokeo haya Boston Celtics wanahitaji ushindi kwenye mchezo unaofata wa 6 (game 6) utakaochezwa kesho Mei 27, ili kuwa mabingwa wa Mashariki na kufuzu fainali ya NBA msimu huu.