Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jose Mourinho akutan ana kipigo cha maisha

Ijumaa , 22nd Oct , 2021

Kocha wa AS Roma, Mreno Jose Mourinho amekutana na kipigo Cha mabao 6-1 dhidi ya Bodo/Glimt ya Norway kwenye Mchezo wa UEFA conference league usiku wa Oktoba 21, ikiwa Ni kichapo Kikubwa yangu aache kufundisha Soka.

(Kocha wa AS Roma, Jose Mourinho akionekana kwenye matukio tofauti tofauti.)

Kipigo hiki ni sawa na kile Cha mabao 5-0 alichopokea kutoka kwa FC Barcelona katika Mchezo wake wa kwanza wa El Classico Mnamo mwaka 2010 akiwa Kocha wa real madrid.

Baada ya kichapo hicho, Kocha huyo maarufu Kama "The Special one" alisema kuwa yeye Ndo anastahili Lawama zote za Mchezo na matokeo hayo kutokana na maamuzi ya wachezaji Kucheza na aina ya mfumo ulikuwa Ni mpango kazi wake ambao haukufanya Kazi.

"Niliamua kucheza na safu hii, kwa hivyo jukumu ni langu," aliiambia Sky Sport Italia.

"Nilifanya hivyo kwa nia nzuri, kutoa nafasi kwa wale wanaofanya kazi kwa bidii na kubadilisha kikosi kwenye uwanja wa sintetiki katika hali ya hewa ya baridi".

"Sikuwahi kuficha ukweli kwamba tulikuwa kikosi chenye mapungufu ya kweli. Tuna wachezaji 13 ambao wanawakilisha timu moja, wengine wako kwenye kiwango tofauti."

"Tulipoteza dhidi ya timu ambayo ilionyesha ubora zaidi usiku wa leo." Alisema Mourinho.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria