Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Luizio aukubali 'muziki' wa Yanga

Jumatatu , 9th Jan , 2017

Kuelekea mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar kati ya Simba na Yanga, mshambuliaji wa Simba Juma Luizio, amekubali makali ya kikosi cha Yanga na kusema kuwa kinaundwa na wachezaji wazuri.

Kikosi cha Yanga

Luizio ambaye amesajili Msimbazi kwa mkopo akitokea Zesco ya Zambia licha ywa kukubali uwezo wa wachezaji wa Yanga, amesema kuwa hakuna anayemuogopa, na kwamba yuko tayari kwa pambano la kesho na atahakikisha anapambana kuipa Simba ushindi.

"Yanga ina wachezaji wazuri sana, wachezaji wote ni wazuri, lakini hakuna ninayemuhofia" Alisema LUizio mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Simba na Jang'ombe Boys, ambapo Simba ilishinda 2-0.

Akiwa Zesco ya Zambia, Luizio alikuwa akinolewa na kocha wa Yanga kwa sasa, George Lwandamina.

Juma Luizio akiwa Zesco

Katika michuano hii Luizio amefungia Simba bao moja pekee, alilofunga katika mchezo dhidi ya Taifa Jang'ombe huku akijihakikishia nafasi ya kudumu katika kikosi cha kwanza. 

Mechi hiyo inapigwa kesho saa 2;15 usiku katika dimba la Amaan, visiwani Zanzibar

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala