Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kagera Sugar yakosa tamko juu ya usajili wake

Jumatano , 11th Jul , 2018

Baada ya tetesi kueleza kuwa klabu ya soka ya Kagera Sugar, imewasajili wachezaji watano kutoka klabu ya Ndanda FC ya Mtwara, timu hiyo ya mkoani Kagera imeshindwa kuthibitisha taarifa hizo.

Kocha wa Kagera Sugar Meck Mexime

Akiongea na www.eatv.tv kocha mkuu wa Kagera Sugar Meck Mexime, amesema hajui lolote kuhusu usajili huo kwani hayupo na timu muda mrefu kwahiyo yote yanawezekana huenda wamesajiliwa au hawajasajiliwa.

''Mimi sijui kuhusu huo usajili, nachoweza kusema timu inafanya usajili lakini kwa hawa wachezaji watano kutoka Ndanda FC sina taarifa nao maana sikuwepo kwenye timu muda mrefu'', - amesema.

Tetesi zilizosambaa mitandao ni kuhusu wachezaji Jeremiah Kasubi ambaye ni mlinda mlango, walinzi Hemed Khoja, Ahmad Waziri, kiungo Majid Khamis na mshambuliaji Omary Mponda wote wakidaiwa kuikacha Ndanda FC na kusaini Kagera.

Kagera Sugar ambayo ilikuwa ikifanya vizuri katika misimu ya nyuma kwenye ligi kuu Tanzania Bara kiasi cha kumaliza kwenye nafasi 4 za juu, msimu uliopita haikuwa na msimu mzuri baada ya kumaliza katika nafasi ya 9 ikishinda mechi 8 kati ya 30 na kupoteza 9 pamoja na sare 13.

Jitihada za kuwatafuta viongozi wa Ndanda FC kulizungmzia hilo zimekwama baada ya kushindwa kupokea simu zao kila walipotafutwa.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani