Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kichuya aiponza Yanga, yaomba radhi

Jumatatu , 27th Feb , 2017

Mchezaji wa Simba Shiza Kichuya ambaye alitupia bao la ushindi siku ya Jumamosi katika mchezo kati ya Simba na Yanga ambapo timu hizo zilimaliza mchezo kwa Simba kuibuka na ushindi wa 2- 1, ameilazimisha Yanga kuwaangukia mashabiki zake.

Kutokana na matokeo hayo klabu ya Young Africans Sports Club kupitia katibu mkuu wake Boniface Charles Mkwasa, imeomba radhi wananchama wote pamoja na wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kwa matokeo mabovu iliyopata siku hiyo.

"Klabu inawaomba kuwa watulivu na pia inashukuru sana kwa utulivu mliouonyesha na kutii sheria zote kwenye mchezo wa Jumamosi. Matokeo haya tuliyopata ni ya kimchezo kikubwa ni kupambana na michezo iliyobaki mbele yetu na kuendelea kuwapa sapoti vijana wetu kwani bado tuna mashindano mengi na michezo mingi mbeleni. Tunaamini Mwalimu ameona mapungufu kwenye mchezo uliopita na atayafanyia kazi kuelekea michezo ijayo na tutafanya vizuri na kurejesha furaha yetu" alisema Boniface Mkwasa 

Hatua hiyo inafuatia mashabiki wa Yanga kuonesha kukwazika na timu yao kutokana na ukweli kwamba wao walianza kushinda katika dakika ya 5 ya mchezo na kumiliki mpira kwa zaidi ya asilimi 52 katika kipindi cha kwanza, huku timu hiyo ikipoteza nafasi mbalimbali za ushindi ambazo ilikuwa inazipata.

 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa