Taifa Stars
Kikosi hicho kilichopo nchini Misri kujiandaa na maandalizi ya mwisho kwaajili ya michuano hiyo, kiliondoka nchini na wachezaji 32 ambapo wachezaji 9 ndiyo waliotemwa.
Wachezaji waliotemwa ni pamoja na Shaban Chilunda, Miraji Athumani, Abdi Banda, Shiza Kichuya, David Mwantika, Selemani, Tangalu pamoja na makinda Kelvin John na Bonifase- Golikipa wa U18.
Kikosi kilichotangazwa ni kama kinavyoonekana hapo chini.