Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha Stars aeleza sababu ya kumtema Manula

Alhamisi , 28th Nov , 2019

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Etienne Ndayiragije amesema moja ya sababu ya kuacha kwa Mlinda mlango wa soka wa Simba Aish Manula ni kuwa mchezaji huyo kucheza michezo katika timu yake ya Simba na timu ya Taifa kwa msimu uliopita na kupelekea kushindwa kufanya vizuri

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Etienne Ndayiragije.

kwenye timu ya Taifa.

Kocha Ndayiragije ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kipenga cha East Africa Radio kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 2 usiku, ambapo amesema kuwa kwa msimu uliopita Simba ilifika mbali sana Kimataifa kwenye Klabu Bingwa Afrika, lakini pia timu ya Taifa ilienda mpaka michuanio ya AFCON.

"Mechi alizocheza Aishi Manula mwaka jana zilimzidi kwa sababu @SimbaSCTanzania ilifika mbali Kimataifa, pia timu ya Taifa ilienda mpaka AFCON, kwa hiyo tuliangalia utaratibu wa kumpumzisha, kwa hiyo hawezi kushuka kiwango' amesema Kocha Ndayiragije

Aidha Ndayiragije amesema kuwa "kuhusu Manula na Kaseja kwenye uwezo wao kuitwa timu ya Taifa, mara nyingi huwa tunaita wachezaji kulingana kiwango chake kwa wakati huo, lakini pia tunaangalia kama atakuwa na kiwango hichohicho tulichokiona ndani ya Klabu"

Aidha Kocha huyo amesema ameomba muda wa kutosha kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake kwa ajili ya michuano ya Kimataifa ikiwemo ya CHAN

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria