Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Yanga asema ukweli

Jumapili , 22nd Mar , 2020

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Luc Eymael amesema kuwa klabu yake haina nafasi ya kunyakua taji la ligi kuu kutokana na nafasi iliyopo katika msimamo na pointi ambazo imeachwa na Simba.

Kocha Luc Eymael na mashabiki wa Yanga

Luc Eymael amesema kuwa  kwa sasa ni lazima aseme ukweli kwamba kikosi chake hakina uwezo wa kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara kutokana na kuachwa pointi nyingi na Simba.

"Muda mwingine ni lazima niseme ukweli ukitazama mahali nilipo na wapinzani wangu walipo ni mbali hivyo kazi yangu kubwa ni kuwajenga kisaikolojia wachezaji ili wakati ujao sasa wawe na nguvu ya kulisaka kombe ila kwa sasa tusubiri na tuone itakuaje," amesema Eymael.

"Ukiwa kocha wakati mwingine unakuwa kwenye hali ambayo hakuna anayeweza kukuelewa kile ambacho utasema kwa mfano muda huu nikisema sina uwezo wa kutwaa kombe wengi wanaweza wakadhani nimekata tamaa hapana", ameongeza.

Simba inaongoza ligi ikiwa na pointi 71 baada ya kucheza mechi 28 huku Yanga ikiwa nafasi ya tatu na pointi 51 ikiwa imecheza mechi 27. Yanga ikizidiwa kwa jumla ya pointi 20 na Simba ambao ni mabingwa watetezi.

Ligi imesimama kwa muda wa mwezi mmoja ili kupisha hali kutulia kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona yanayosambaa duniani.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria