Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kriketi Tanzania waanza kuisaka michuano ya Afrika

Jumanne , 21st Jun , 2016

Pamoja na mashindano ya vijana chini ya miaka 19 ya mchezo wa kriketi kwa nchi za Afrika kufanyika mwezi wa tisa mwaka huu nchini Afrika Kusini tayari timu ya kriketi ya Tanzania chini ya umri huo imeanza kambi maalumu ya mazoezi jijini Dar es Salaam

Wachezaji wa timu ya Kriketi ya Tanzania chini ya miaka 19.

Kikosi cha wachezaji 25 wa mchezo wa criket wa chini ya miaka 19 wa Tanzania pamoja na kocha wao Kharil Rhemtulah wameingia kambini kwaajili ya mazoezi ya awali kabla ya kuanza mazoezi ya mwisho hapo baadae kujiandaa na michuano ya Afrika itakayofanyika mwezi wa tisa nchini Afrika kusini.

Akizungumzia kambi hiyo maalumu ambayo itafanyika kwa mzunguko katika mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Mwanza na Arusha kocha Rhemtulah amesema pia kutafanyika kliniki maalumu kwa walimu na wakufunzi kutoka kamati ya ufundi ya chama cha kriketi nchini TCA kwakushirikiana na makocha kutoa mafunzo ya mchezo huo katika maeneo hayo.

Aidha Kharil amesema katika mizunguko ya kambi hiyo maalumu watatumia fursa hiyo kung'amua vipaji vipya katika mchezo huo hasa kwa vijana nakuwajumuisha katika programu ya timu za taifa kwaajili ya mashindano mbalimbali ya kimataifa msimu ujao.

Akimalizia Kharil ambaye pia ni mchezaji wa timu ya wakubwa wa mchezo huo nchini amewataka Watanzania kuisaidia timu hiyo kwa uiwezesha kwa vifaa vya mchezo wenyewe kwaajili ya mazoezi na mechi lakini pia akatoa wito kwa Serikali kuwatafutia maeneo maalumu vijana katika mikoa na wilaya zao ili waweze kucheza mchezo huo katika maeneo mengi nchini kama ilivyo kwa michezo mingine kama soka, kikapu na mpira wa pete[ netiball] na mingineyo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa