Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuhusu ligi kuchezwa kituo 1,klabu yamuomba Waziri

Jumanne , 26th Mei , 2020

Baadhi ya klabu za Ligi Kuu Tanzania bara zimeonekana kulalamikia gharama zitakazojitokeza pindi ligi itakapoendelea kwa kuchezwa katika kituo kimoja cha Dar es Salaam.

Mchezo wa Ruvu Shooting dhidi ya Simba

Hatua hiyo inakuja kufuatia Rais Magufuli kutoa ruhusa ya ligi kurejea na siku kadhaa baadaye Waziri wa Sanaa, Habari, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe kutoa utaratibu wa namna ligi itachezwa, akiitaja Dar es Salaam kuwa ni mkoa kwa ajili ya Ligi Kuu.

Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ni miongoni mwa waliotoa maoni yao katika hatua hiyo ambapo amesema kuwa utaratibu wa kucheza ligi katika kituo kimoja utaziathiri zaidi klabu za mikoani kiuchumi kutokana na gharama za kuweka kambi kwa mwezi mmoja.

Masau Bwire amesema gharama ya kuweka kambi katika hoteli kwa timu moja kwa mwezi mzima siyo chini ya Sh. milioni 58 kwa mwezi mzima, jambo ambalo si rahisi kwa klabu nyingi hasa za nje ya Dar es Salaam, hivyo amemuomba Mhe. Waziri kukaa na wadau kuweka utaratibu mzuri kwa klabu hizo.

Mapema kabla ya ruhusa ya kuendelea ligi kutolewa na Rais Magufuli, klabu ya Ndanda ililalamika kukosa pesa za kuendesha klabu hasa kutokana na madhara ya COVID-19 na kuiomba Bodi ya Ligi na TFF kutoa msaada, na baadaye Bodi ya Ligi ilijibu kuwa haina pesa za kuzisaidia klabu na badala yake wataziwahisha pesa za wadahamini wao.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala