Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manchester United na rekodi ya kibabe kwa Chelsea

Jumatatu , 29th Nov , 2021

Mchezo kati ya Chelsea na Manchester United ulimalizika usiku wa jana kwa sare 1-1 kwenye dimba la Stamford Bridger huku wenyeji Chelsea wakilazimika kusawazisha ili kukwepa kipigo kingine kwenye EPL.

(Jado Sancho akimtoka Jorginho na kwenda kufunga bao la Man United)

Manchester United ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa winga wake Jadon Sancho dakika 50 kufuatia Jorginho kuboronga kabla ya Jorginho kurekebisha makosa yake kwa kufunga bao kwa mkwaju wa penalty dakika 69.

Sare hiyo imeifanya Chelsea kuzidi kuwa na rekodi mbovu mbele ya Manchester United kwenye EPL pekee kwani mchezo huo umefanya Chelsea kushindwa kupata ushindi kwenye michezo nane ya mwisho ya EPL dhidi ya Man United.

Wawili hao wametoa sare tano na Chelsea ikipoteza michezo mitatu. Mara baada ya mchezo huo kumalizika kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amesema Chelsea haikustahili kupata penalty huku Tuchel akichekelea.

Carrick amesema, "Sijafurahishwa kusema ukweli. Kama ukiwa unaongoza wa bao moja kwenye mchezo kama huu, alafu ukapoteza uwezekano wa kupata ushindi, Inavunja moyo. Najivunia wachezaji hawa kwa juma hili nililokuwa nao”.

“Tulijaribu kufanya kitu kizuri kwenye wakati mgumu, lakini ndiyo hivo tumepata hisia tofauti. Tulikuja kwa ajili ya kushinda mchezo. Tumevunjika moyo kidogo, Siwezi kusema uongo" Alimalizia hivyo Carrick.

Kwa upande wa kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel amesema, "Wajilinda sana na huenda tulipaswa kupata bao la mapema ili kuifungua safu yao ya ulinzi.”

“Walipata kujiamini na uhuru kwa asilimia kubwa kufuatiwa na nafasi nyingi kwenye goli letu. Lakini kiujumla, ninafuraha sana kwa namna tulivyocheza. Nilivutiwa nanamna tulivyoutaka mchezo, kiwango chetu cha ari na kasi"

Kwa sare hiyo Chelsea imesalia kinara wa EPL akiwa na alama 30 alama moja mbele ya Manchester City wakati Manchester United wakiwa nafasi ya nane na alama zao 18.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita