Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marufuku shindano  lolote la Tennis nchini China  

Alhamisi , 2nd Dec , 2021

Chama cha mchezo wa tennis duniani upande wa wanawake wamezuia mashindano yote yaliyopaswa kufanyika nchini China mpaka sakata la unyanyasaji wa kijinsia la nyota kutoka   nchini humo  Peng Shuai kupatiwa ufumbuzi.

(Mcheza tennis wa China, Peng Shuai na ujumbe alioutuma online)

Peng 35, aliyewahi kushika nafasi ya kwanza kwa ubora duniani kwa wachezaji wawili wawili kwenye tennis hakuonekana hadharani kwa siku 13 baada ya kuchapisha maneno kwenye mitandao yake ya kijamii mnamo November 2, 2021 kwamba aliyekuwa Waziri mkuu msaidizi nchini humo Zhang Gaoli alikuwa anamlazimisha kimapenzi kipindi alipokuwa hayupo kwenye mahusiano

Chapisho hilo lilikuja kufutwa saa chache baadae ingawaje tayari watu wengi walikuwa wamelisambaza na wasiwasi zaidi ukiongezeka kwa kutoonekana hadharani majuma mawili kwa nyota huyo

Mtendaji mkuu wa WTA, Steve Simon amesema “Bado tuna mashaka na usalama wa Peng, kama yupo huru, salama na kama hajatishiwa usalama wake” na kuendelea kusisitiza “kwa mazingira mazuri ya kiusalama , sidhani kama ninaweza kuwaambia wachezaji waende wakashindane huko”

 WTA kimetoa wito wa kuchunguzwa madai ya Peng huku wakisisitiza lazima ufanyike uchunguzi wa kina tena ulio wazi na huru bila ya kuwepo kwa vitisho.

Mara ya mwisho kuonekana kwa Peng ilikuwa mwisho wa mwezi Novemba 2021 kwenye michuano ya Beijing ya tennis kisha baadae kipande cha video kurushwa mtandaoni akiongea na rais wa kamati ya olimpiki (IOC) Thomas Bach na kusema yupo salama na mzima.

 Mamlaka za China zimesema suala la Peng  ni siasa za kimichezo tu.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria