Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki rukhsa uwanjani michezo ya CAF Tanzania

Ijumaa , 15th Oct , 2021

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika ‘CAF’ limeruhusu mashabiki kwenye michezo yake ya kombe la shirikisho Afrika na Ligi ya mabingwa barani humo kwa timu za Tanzania inayotaraji kuchezwa kuanzia Ijumaa ya leo Oktoba 15,2021.

(Picha ikionesha Mashabiki wa Simba SC (kwenye picha kubwa), Mashabiki wa Azam (Juu kulia) na Kikosi cha timu ya Biashara United Mara)

Barua CAF iliyowasilishwa na TFF kwa Umma navilabu husika:

(Barua ya TFF yenye Ujumbe wa CAF)

Kwa Mujibu wa taarifa ya CAF iliyotolewa na TFF usiku wa jana Oktoba 14, 2021, mchezo wa shirikisho wa mzunguko wa pili hatua ya mtoano kati ya Biashara United Mara na Al Ahly Tripoli utakaochezwa saa 9:00 Alasiri kwenye dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam utaruhusiwa kuingiza mashabiki 5, 000.

Kwa upande mwingine, Mchezo wa kombe la Shirikisho Afrika wa Azam dhidi ya Pyramids utakaochezwa kwenye dimba la Chamazi saa 9:00 Alasiri utaruhusiwa kuingiza mwatazamaji  2,000 ilhali Simba wameruhusiwa kuingiza mashabiki 15, 000 kwenye mchezo wake wa marudio utakaochezwa Oktoba 24, 2021

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria