Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga, Tamaduni, Dribblers, Dallas wasonga mbele

Jumapili , 15th Sep , 2019

Michuano ya Sprite Bball Kings imeendelea tena kwa leo katika Uwanja wa Ndani wa Taifa, kwa hatua ya robo fainali kupigwa ambapo miamba nane imeshuka dimbani kutafuta timu 4 za nusu fainali.

Robo fainali Sprite Bball Kings 2019

Katika mchezo wa kwanza kati ya KG Dallas na Water Institute umemalizika kwa KG Dallas kuibuka na ushindi wa vikapu 91 dhidi ya 84 na kuwa timu ya kwanza kufuzu nusu fainali, huku Michael Mbaga wa Water Institute akiongoza kwa kufunga jumla ya pointi 31.

Mchezo wa pili umemalizika kwa Flying Dribblers kuibuka na ushindi wa vikapu 90 dhidi ya vikapu 77 vya Dream Chasers. Mchezaji Jackson Vasco wa Flying Dribblers akiongoza kwa kufunga pointi 24 na katika mchezo wa tatu, Tamaduni imeibuka na ushindi wa vikapu 102 dhidi ya vikapu 67 vya Ukonga Hitmen. Stephano Mshana wa Tamaduni akiongoza kwa kufunga pointi 33.

Mchezo wa mwisho uliowakutanisha mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na TMT ( The Money Team ) umeisha kwa Mchenga kuibuka na ushindi wa vikapu 91 kwa vikapu 61 vya TMT, huku Baraka Sadick akiibuka mfungaji bora wa mchezo akifunga jumla ya  pointi 25.

Droo ya hatua ya nusu fainali inatarajia kupangwa kesho Jumatatu, Septemba 16 katika ofisi za EATV na EA Radio, katika kipindi cha Kipenga Extra, saa 6:00 Mchana.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera