Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji aweka rekodi ya kucheza kwa miongo minne

Jumatatu , 6th Jan , 2020

Mcheza kikapu Vince Carter anayekipiga katika timu ya Atlanta Hawks inayoshiriki ligi ya NBA, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya ligi hiyo kucheza kwa miongo (decade) minne.

Vince Carter

Carter ameweka rekodi hiyo jana Jumapili wakati timu yake ya Atlanta Hawks ilipoifunga Indiana Pacers vikapu 116 kwa 111, ambapo Vince Carter alikuwa sehemu ya kikosi cha Atlanta.

Vince Carter mwenye miaka 42, alianza rasmi kucheza NBA mwaka 1999, ambapo baadhi ya nyota waliokuwa wakicheza wakati huo na sasa wamestaafu ni  Michael Jordan.

Katika kikosi cha Atlanta kuna wachezaji ambao wanacheza na Vince Carter lakini hawakuwa wamezaliwa wakati yeye anaanza kucheza NBA. Wachezaji hao ni Bruno Fernando, Trae Young, Kevin Huerter na Cam Reddish.

Vince Carter

Baadhi ya rekodi zake pamoja na tuzo.

Amecheza zaidi ya mechi 1,500 za NBA 

Ameingia mara 8 kwenye kikosi cha NBA All-Star

Pia amechukua medali ya dhahabu kwenye Olympic mwaka 2000.

Mchezaji mpya bora (NBA Rookie of the Year Award 1999)

Mchezaji wa kwanza mwenye miaka 40 kufunga pointi 3 kwenye mechi ya 'playoff' (April 22, 2017 vs. San Antonio Spurs, Western Conference 1st round).
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria