Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkude kutojiunga kambini Stars, kocha azungumza

Jumanne , 17th Mar , 2020

Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinaendelea na mazoezi Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Tunisia na michuano ya CHAN nchini Cameroon.

Jonas Mkude

Jumla ya wachezaji 35 waliitwa kujiunga na Taifa Stars katika mchezo huo na wachezaji wengi wamewasiri kambini isipokuwa wachezaji wa Yanga pamoja na kiungo wa klabu ya Simba, Jonas Mkude ambaye hakuna taarifa rasmi ya kwanini hajajiunga na kambi.

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amesema kuwa hana taarifa rasmi kwanini mchezaji huyo hajawasiri kambini na yeye anasubiri taarifa kujua alikuwa wapi.

"Wachezaji ambao hawajafika ni wengi sio Jonas Mkude peke yake, wapo wa Yanga pamoja na wengine wanafika leo jioni lakini Jonas tatizo ni kwamba wachezaji wenzake wamefika yeye hajafika", amesema Ndayiragije.

"Alisema anakwenda Morogoro lakini hatujawa na uhakika aliko pamoja na sababu za kwanini hajafika, lakini kuna msemaji na wale wanaohusika watawapa taarifa. Mimi siwezi kuliongelea jambo ambalo sijalijua vizuri", ameongeza.

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF, mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia umeahirishwa kutokana na tishio la virusi vya Corona huku pia michuano ya CHAN iliyotakiwa kufanyika nchini Cameroon kuanzia Aprili 4 -25, imeahirishwa.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria