Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkwasa kuwashika koo waliochoma jezi

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Katibu Mkuu wa Klabu ya Mabingwa wa Ligii kuu Tanzania Bara Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amelaani vikali kitendo cha mashabiki wa timu yake kuchoma moto jezi ya aliyekuwa mchezaji wao kwa kusema kitendo hicho kinashusha heshima ya timu.

Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa

Mkwasa amebainisha hayo masaa machache yaliyopita tokea mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo kuchukizwa na kitendo cha kuondoka kwa Nahodha Haruna Niyonzima, na kupelekea kuchoma moto jezi yenye namba nane mgongoni ambayo ndiyo aliyokuwa anavaa kipindi akiingia uwanjani.

"Wanachama niwaombe wawe na utulivu wawe na umakini haya mambo ni ya kawaida katika mchezo na Haruna kutoka kwenda timu nyingine siyo mara ya kwanza kwa wachezaji waliowahi kupitia Yanga, wapo wengi wamepitia lakini hakikuwa kitendo kama hicho kwa hiyo mimi nakikemea sikiungi mkono na ninawaombe wale wengine waliyokuwa na mawazo kama hayo wasiwe na mawazo hayo wajaribu kuwa na umoja huu. Mpira ni ushindani na kujenga uhusiano mzuri" alisema Mkwasa.

Pamoja na hayo, Mkwasa amesema kitendo hicho kinawadhalilisha wao wenyewe mashabiki wanaofanya hivyo pamoja na klabu nzima kwa ujumla kwa kudai jezi hiyo ina nembo inayotambulisha timu yao.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu