Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji, Simba ni timu bora, Mwana FA ashangaa

Jumamosi , 16th Feb , 2019

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya soka ya Simba Mohammed Dewji, amesema Simba imeshinda mchezo wa leo kwasababu ni timu bora huku mshindi wa tuzo mhamasishaji bora wa mashabiki wa Simba mtandaoni mwaka 2018, Mwana FA akishangaa.

Mwana FA na Mo Dewji

Mwana FA ameonesha kushangazwa na idadi ndogo ya mabao waliyofunga Simba tofauti na matarajio yake. ''Tufunge waarabu wenye kikosi cha bilioni 80 tuwashindwe hawa wenye cha elfu 60?? hamna hiyo‬..kwanza imekuwaje tumewafunga 1 ??'' ameandika Mwana FA.

Kwa upande wake Mo Dewji yeye ameshukuru na kusema walistahili kushinda kwasababu ni timu bora. ''Alhamdulilah! Timu bora imeshinda''.

Kwa upande mwingine mbunge mdogo zaidi Halima Bulembo naye ameonesha kuguswa na matokeo ya mchezo huo huku akishangilia kwa kumpongeza Haji Manara anavyojidai na timu yake. ''Sema Haji Unajuwa Kujishaua Jamani''

Naye Mbunge wa Mikumi Joseph Haule amesema hizi ni salamu tu lakini wanaisubiri AS Vital Club ya DR Congo ili walipe kisasi. ''Leo tumewabeep tu maana nyinyi sio Level yetu, Sasa tunawasubiri wale Wacongo wenu waliowatuma muimbe sana Bolingo wakati ule'', ameandika.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewatania viongozi wenzake, Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro na mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi kuwa wanashabikia Yanga kwa heshima ya wazazi wao bila hivyo wangekuwa wameshahama.
 

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya