Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Morrison siyo mkubwa kuliko Yanga" - Katibu

Ijumaa , 19th Jun , 2020

Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna nia ya kumtukuza mchezaji kutokana na ubora wake kwa kuwa taasisi ya klabu hiyo ni kubwa kuliko mtu yoyote.

Bernard Morrison akimtoka mchezaji wa wa Transit Camp

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Wakili Patrick Simon akizungumzia adhabu walizotoa dhidi ya nyota wao wa kigeni Lamine Moro aliyeonesha utovu wa nidhamu katika mechi dhidi ya JKT Tanzania, na Benard Morrison aliyeshindwa kusafiri na klabu katika mikoa ya Shinyanga na Dodoma.

Akizungumza na Kipenga ya East Africa Radio kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa mbili usiku, Wakili Patrick amesema Yanga haiungi mkono mchezo hatarishi kwa kuwa mpira wa miguu sio vita, pia haijafurahia kumkosa Lamine Moro katika mechi tatu zijazo kwa kuwa kunaweza kuigharimu timu.

Simon Patrick amesema klabu imemuadhibu nyota huyo kutokana na kanuni na sheria zilizopo, ingawa amesisiza kuwa hafahamu kama viongozi waliopita walikua wanatoa adhabu kwa wachezaji wengine waliokiuka kanuni zilizowekwa.

Kuhusiana na Bernard Morrison, Wakili Patrick amesema alizungumza naye na alimsamehe kwa kuwa alikua na hoja za msingi lakini amesisitiza kwamba maamuzi ya kumsamehe si kutokana na hadhi yake.

Amesema "Morrison ni mchezaji wa kawaida kama wachezaji wengine, Yanga ni kubwa kuliko yeye na hakuna aliyemfahamu mchezaji huyo wa Ghana kabla ya kusajiliwa na klabu yetu"

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala