Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa Sugar yamnasa Dilunga

Jumatatu , 24th Jul , 2017

Klabu ya Mtibwa Sugar yenye makao makuu yake Turiani mkoani Morogoro imefanikiwa kunasa saini ya kiungo mkongwe wa kutokea JKT Ruvu, Hassan Dilunga kuitumikia timu hiyo kwa kandarasi ya miaka miwili katika msimu mpya wa ligi kuu 2017/2018

Mchezaji mpya wa Mtibwa Sugar Hassan Dilunga.

unaotarajiwa kuanza muda si mwingi.

Kusajiliwa kwa Dilunga kunafanya idadi ya nyota wapya katika kikosi hicho kufikia sita (6) mpaka sasa baada ya usajili wa awali wa Hussein Idd kutoka Oljoro JKT anayemudu kucheza beki ya kati, Seleman Kihimbi “Chuji”  kutoka Polisi Moro, Salum Kupela Kanoni kutoka Mwadui, Shaban Kado kutoka Mwadui na Rifat Khamis kutoka Ndanda FC.

Mara baada ya usajili huo, Dilunga amesema Mtibwa ndiyo mahala sahihi kwake na ndiyo sababu ya yeye kukataa ofa nyingi alizopata kutoka katika vilabu vingine.

“Nafikiri nimekuja mahala sahihi, nimepata ofa nyingi sana lakini nilipoona Mtibwa Sugar wananihitaji sikutaka kufikiria mara mbili maana nilikuwa natamani kuichezea klabu hii, namshukuru Allah kwa kunifikisha mahala hapa nadhani patakuwa sahihi sana kwangu", amesema Dilunga.

Kwa upande mwingine, Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), limesema mpaka sasa ni timu mbili, kati ya 62 ndizo zimefanya usajili hivyo imetoa tahadhari kwa klabu zote zilizopo nchini kuendelea kufanya usajili katika siku 12 zilizobakia kabla ya kufungwa dirisha la usajili kwa kuwa mwaka huu hawataweza kuongeza siku kama walivyofanya mwaka uliyopita katika usajili.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria