Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MVP wa Sprite Bball Kings, aweka rekodi Taifa Cup

Ijumaa , 21st Dec , 2018

MVP wa michuano ya Sprite Bball Kings mwaka 2018, Baraka Sadick ameendelea kuonesha ubora wake baada ya kuweka rekodi ya kufunga pointi 72 katika mchezo mmoja kitu ambacho hakijawahi kutokea katika historia ya mchezo wa kikapu nchini.

Timu ya Mchenga Bball Stars walipokabidhiwa kombe pamoja na tuzo ya MVP.

Baraka ambaye alikuwa anachezea timu ya mabingwa wa Sprite Bball Kings, Mchenga Bball Kings ameweka rekodi hiyo Katika mashindano ya Taifa Cup yanaoendelea mkoani Simiyu ambayo yamefikia hatua ya fainali na inapigwa kesho ikikutanisha timu anayochezea Baraka ya mkoani wa Dar es Salaam (Dream team) dhidi ya timu ya mkoa wa Mwanza.

Katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya timu ya mkoa wa Mara, Baraka alifunga pointi 72 ndani yake akifunga 'Three point' 17 na kufanya mpaka sasa kwa Tanzania yeye ndio aliyefunga Three points nyingi kuliko mchezaji yeyote.

Pia katika michezo mingine, Baraka amekuwa akiongoza kwa kufunga pointi nyingi hivyo kuendelea kuwa miongoni mwa wachezaji bora zaidi wa Kikapu kuwahi kutokea.

Katika mechi dhidi ya Mwanza alifunga pointi 38, Rebound 2 na Assists 3 huku Three pointi zikiwa 3. Dar es salaam iliibuka na ushindi wa pointi 95 kwa 45 za Mwanza.

Mchezaji Baraka Sadick akikimbia na mpira kwenye game 1.ya fainali dhidi ya Flying Dribblers

Katika mechi nyingine dhidi ya Singida, Baraka alifunga pointi 56, Rebound 4 na Assists 9 na Three pointi zilikuwa 11. Dar es salaam ilishinda kwa pointi 171 kwa 29 za Singida.

Kwenye mechi dhidi ya Shinyanga, Baraka alifunga pointi 26, Rebound 1, Assists 3, huku akifunga Three pointi 6, Dar es salaam ikishinda pointi 107 dhidi ya 70 za Shinyanga.

Kabla ya fainali ya kesho itakayopigwa saa 10:00 jioni, Baraka ana wastani yaani 'Avarage' ya pointi 48 kwa kila mchezo na Assists 7 kwa kila game, pia Rebound 2 kwa kila mchezo.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria