Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakalebela azungumzia nafasi ya Dismas Ten Yanga

Jumatano , 14th Aug , 2019

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrik Mwakalebela amemaliza utata juu ya tetesi za uongozi wa klabu hiyo kutokuwa na maelewano mazuri na Kaimu Katibu Mkuu wake, Dismas Ten.

Fredrick Mwakalebela (katikati), Dismas Ten (kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Araphat.

Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari, amakao makuu ya klabu hiyo jana, Mwakalebela amesema kuwa hakuna mgogoro wowote kati ya uongozi na Dismas na kwamba yeye kwa sasa anafanya kazi ya Ukaimu Katibu Mkuu na siyo ya usemaji/Afisa Habari.

"Dismas Ten ni Kaimu Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga kwahiyo kuna majukumu anayafanya kwa mujibu wa maagizo na kwa hivi sasa yeye si msemaji tena wa Yanga. Anachokifanya ni kutekeleza maagizo kutoka kwa Mwenyekiti kupitia kwa Makamu Mwenyekiti hadi kwake", amesema.

"Sekretarieti mpya inakuja na kama mnavyofahamu tumeshatangaza nafasi za kazi na mchakato unakwenda vizuri, tukishapa mtaiona safu nzima ya uongozi", ameongeza.

Aidha Mwakalebela ameitaja idara mbalimbali za uongozi ndani ya klabu hiyo ambazo zitajazwa watu hivi karibuni. Miongoni mwa nafasi hizo ni pamoja na Katibu Mkuu wa klabu, Mkurugenzi wa Sheria na Wanachama, Mkurugenzi wa Mashindano, Mkurugenzi wa Ufundi, Idara ya Fedha na Utawala pamoja na Idara ya Masoko na Mauzo ambayo ndani yake itakuwa na kitengo cha Habari na Mawasiliano.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera