Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namungo FC wazidi kuchafua hali ya hewa

Alhamisi , 6th Jun , 2019

Msimu timu mbalimbali zinaendelea kujiandaa na usajili kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara, Namungo FC imeendelea kutikisa katika usajili.

Usajili wa Namungo FC

Namungo FC yenye makao yake makuu wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kutikisa katika usajili, ambapo hadi sasa imesajili wachezaji wanne watakaoitumikia timu hiyo msimu ujao.

Mchezaji wa kwanza ambaye imemsajili ni Bigirimana Blaize kutoka Alliance FC, ambapo amesaini mkataba wa mwaka mmoja. Mwingine ni Daniel Joram ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Joram aliitumikia Namungo FC kwa mkopo msimu uliopita akitokea Mbeya City.

Pia Namungo FC imeimarisha mikataba ya wachezaji wake wawili, mlinzi, Jukumu Kibanda pamoja na mshambuliaji Lusajo Reliants kwa mkataba wa miaka miwili. 

Kutokana na usajili wanaoufanya Namungo FC, kuna kila dalili ya timu hiyo kufanya vizuri msimu ujao kama ilivyokuwa kwa klabu ya KMC katika msimu wake wa kwanza uliomalizika, ambapo imemaliza nafasi ya nne ya msimamo na kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi