Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nani kucheka NBA ni fainali ya James na Curry leo

Jumapili , 19th Jun , 2016

Kwa wale wanaofuatailia na kuitazama kwa ukaribu michuano ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA hasa katika michezo ya fainali zake ni wazi atakili ni mchuano mkubwa baina ya miamba LeBron James na Stephen Curry ambao wamekuwa wakizisaidia timu zao

Wachezaji Le Bron James na Stephen Curry kuamua bingwa wa NBA

Mfalme LeBron James mara nyingi amekuwa akiwika na kufanya vema na kuonyesha maajabu ama kufanya miujiza ya mchezo huo na mara hii sasa anasubiriwa kuona akifanya ambacho hakijawahi kutokea katika historia ya ligi kuu ya mpira wa kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA.

Katika historia ya michuano ya NBA haijawahi kutokea timu ikatwaa ubingwa wa michuano hiyo baada ya awali kuanza kwa kupoteza michezo mitatu ya awali ya fainali katika nne za kwanza kati ya saba za michuano hiyo, lakini nyota James ana nafasi ya kuweka rekodi hiyo ya kihistoria msimu huu baada ya kuiwezesha Cleverland Cavaliers kuzinduka kutoka nyuma katika kipigo cha michezo mitatu kwa moja [3-1] nakushinda michezo miwili mfululizo dhidi ya wapinzani wao Golden State Warriors na hatimaye kulazimisha kuchezwa kwa mchezo wa saba wa fainali hizo.

Mchezo wa saba [game 7] ya fainali hizo za NBA utapigwa leo usiku wa kuamkia kesho kwenye uwanja wa Warriors Oracle Arena Mjini Oakland.

Rekodi ya ubora wa James katika mchezo uliopita aliweza kufunga kwa mara ya pili mfululizo pointi 41 huku akitoa mipira ya msaada [assist] 11, akiwahi mipira ribaundi 8, akiiba mipira mara 4 na kupiga mipira ya kuzuia mara tatu[block 3], wakati mpinzani wake Stephen Curry wa Golden State Warriors yeye akitupia pointi 30, akiwahi mipira yaani ribaundi tatu, akitoa msaada [assist] 1 na kuiba mpira mara 1.

Hivyo usiku wa leo kuamkia kesho alfajiri utakuwa ni usiku wa rekodi kwa miamba hiyo na hasa baada ya mchezo wa juzi kuishia kwa Cavaliers kuibuka na alama ya vikapu 115- 101.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita