Nejmar Jr
Akiwa na Santos FC, Neymar alicheza mechi tatu akiwa na jeraha, akafunga mabao manne na kutoa pasi moja ya bao .
Atafanyiwa upasuaji na daktari wa timu ya taifa ya Brazil Rodrigo Lasmar, huku shirikisho la soka nchini humo (CBF) likifuatilia kila hatua .
Hii ina maanisha kuwa, huenda mshambuliaji huyo, akawa sehemu ya kikosi c ha Brazil wakati wa fainali za Kombe la Dunia 2026, endapo upasuaji wake utafanikiwa kwa 100%
