Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neymar kupandishwa kizimbani kesi ya rushwa

Jumanne , 21st Feb , 2017

Mchezaji wa Barcelona Neymar na klabu yake watasimama mahakamani katika kujibu mashtaka ya uhamisho wa mchezaji huyo, kutoka klabu ya Santos, baada ya kushindwa rufaa.

Neymar

Kesi hiyo inaihusu kampuni ya uwekezaji ya Brazil DIS, inayomiliki asilimia 45 ya mauzo ya Mbrazil huyo,imelalamika kuwa ilipewa kiasi kidogo cha fedha, wakati Neymar alipouzwa Barcelona kutoka Santos, kwa ada ya £49 mwaka  2013.

Klabu ya Santos, Neymar, Mama yake na kampuni inayomilikwa na wazazi wake, watafikishwa mahakamani.

"Santos FC, Barcelona FC, Neymar, mama yake Nadine Goncalves na N&N, kampuni ya familia, wamepoteza rufaa yao, ya kukataa rushwa na ufujaji," Taarifa ya mahakama kuu ya Hispania, ilisema.

Neymar anaweza kukumbwa na kifungo cha miaka miwili jela na faini ya paundi milioni 8, endapo atapatikana na hatia.

Lakini kwa mujibu wa sheria za Hispania, kifungo chini ya miaka miwili hutolewa na kubaki faini peke yake.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala