Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Nilimruhusu mpiga picha wa Ikulu'' - Manara

Jumatatu , 21st Mei , 2018

Baada ya kusambaa kwa video na picha zinazomwonesha msemaji wa Simba Haji Manara, akihuzunika uwanjani huku akiwa ameshika eneo la moyo amemtaja (Ankal Michuzi) ambaye ni mpiga picha wa Ikulu na alimruhusu kuzisambaza.

Manara ameeleza kuwa lengo la kuzisambaza video hizo ni kuwaonesha mashabiki nguvu ya mchezo wa soka ilivyo kubwa na wao kama viongozi huwa wanaumia pia pindi mambo yanapokuwa hayaendi vizuri.

''Anko Michuzi (mpiga picha wa Ikulu) ndiye ambae alipiga picha na video zote 'zinazotrend' mitandaoni bila mm kujijua, aliniuliza kabla ya kuziachia nikamruhusu ili Watanzania waone tunavyopagawa na hizi timu'', amesema.

Picha na Video hizo zilipigwa kwenye uwanja wa taifa juzi kwenye mchezo wa ligi kuu ambao ulikuwa maalum kwa Simba kukabidhiwa ubingwa lakini furaha yao ilitibuliwa na Kagera Sugar kwa kufungwa bao 1-0. Okwi alikosa penati ambayo ilidakwa na Juma Kaseja.

Ubingwa wa ligi kuu msimu huu ni wa kwanza kwa Simba tangu Haji Manara awe msemaji wa timu hiyo, na amekuwa akiusubiri kwa hamu huku akiwa ni miongoni mwa wanasimba ambao waliokuwa wanajivunia rekodi ya kutopoteza mchezo msimu huu.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi