Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nne za kwanza hatua ya robo fainali zafahamika

Jumamosi , 7th Sep , 2019

Michuano ya Sprite Bball Kings 2019 imeendelea tena leo katika hatua ya 16 bora, ambapo jumla ya michezo minne imepigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

Matukio ya mechi za kwanza hatua ya 16 bora

Huu ni mwaka wa tatu mfululizo michuano hiyo inafanyika, ikiandaliwa na EATV na EA Radio kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite, ambapo katika michezo ya leo, jumla ya timu nne za kwanza zimepatikana zitakazoingia hatua ya robo fainali.

Mchezo wa kwanza uliowakutanisha mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars dhidi ya Temeke Heroes, imeshuhudiwa Mchenga wakishinda kwa vikapu 114 dhidi ya vikapu 93 vya Temeke Heroes, huku mchezo wa pili ukimalizika kwa Dream Chasers kuibuka na ushindi wa vikapu 109 dhidi ya 90 vya Yo! Streets.

Katika mchezo wa tatu, Tamaduni imeibuka na ushindi wa vikapu 87 dhidi ya vikapu 76 vya Nothing But Nets, huku mchezo wa nne ukimalizika kwa Water Institute kuibuka na vikapu 76 dhidi ya vikapu 70 vya Stylers.

Michuano hiyo itaendelea tena kesho saa 2:00 Asubuhi katika viwanja vya Don Bosco ambapo jumla ya michezo minne ya mwisho itapigwa kukamilisha hatua ya 16 bora. Mchezo wa kwanza, JK Ballers ballers watacheza na Ukonga Hitmen, KG Dallas dhidi ya Wagalatia, Weusi Basketball Club dhidi ta TMT na mechi ya mwisho ni kati ya Flying Dribblers na Oysterbay.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria