Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu fainali CECAFA U20 yafikia patamu

Jumamosi , 28th Nov , 2020

Michuano ya timu za taifa za vijana chini ya umri wa miaka 20 ukanda wa Afrika Mashariki na kati 'CEACFA U20' imefikia hatua ya nusu fainali huku timu za Ngorongoro Heroes ya Tanzania ambao ndiyo wenyeji, Kenya, Uganda na Sudan ya Kusini zikitaraji kuchuana siku ya Jumatatu Novemba 30.

Kikosi cha Ngorongoro Heroes kikiwa mazoezini

Mchezo wa nusu fainali ya kwanza Timu ya Taifa ya Vijana ya Uganda watashuka dimbani kukipiga dhidi ya Timu ya Taifa ya Vijana ya Kenya majira ya saa sita kamili mchana kwenye uwanja wa Black Rhino Academy uliopo Karatu mkoani Arusha.

Bingwa wa mchezo huo atakutana fainalii kucheza na bingwa wa mchezo wa nusu fainali ya pili ambapo wenyeji Tanzania 'Ngorongoro Heroes' wanatazamiwa kukupiga na timu ya taifa ya vijana na Sudan Kusini saa tisa na nusu alasiri pia kwenye uwanja wa Black Rhino Academy karatu jijini Arusha.

Fainali ya michuano hiyo iliyoanza tarehe 22 mwezi huu inataraji kuchezwa tarehe 2 mwezi disemba jijini Arusha huku wenyeji wa michuani hiyo timu ya vijana ya Tanzania 'Ngorongoro Heroes' inayonolewa na Jamhuri Kihwelo 'Julio' ikipewa nafasi kubwa ya kubeba kombe hilo.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria