Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pacquiao kustaafu ndondi

Alhamisi , 23rd Sep , 2021

Bingwa wa zamani wa mkanda wa uzito wa kati wa WBA Welter Weight, Manny Pacquiao amesema kwa sasa inatosha kwa maana ya kutaka kuachana na mchezo huo aliutumikia kwa kipindi kirefu.

Bondia Manny Pacquiao (kulia) akizipiga na bondia Yordenis Ugas wa Cuba kwenye pambano la kuwania Mkanda wa Ubingwa wa Uzito wa kati WBA pambano lililofanyika Agosti 2021 ambapo Pacquiao alipoteza mchezo huo.

Kauli ya Pacquiao mwenye miaka 42 inakuja baada ya familia ya bondia huyo kumtaka astaafu haraka.

"Kazi yangu ya ndondi tayari imekwisha. Imefanywa kwasababu nimekuwabkwenye ndondi kwa muda mrefu na familia yangu inasema kuwa inatosha" 

Kwa upande mwingine, Promota wa Pacquiao, Sean Gibbons amesema bondia wake bado haja staafu rasmi ila anatazamia kupata jibu kmaili siku chache zajazo.

"Seneta ni mgombea wa urais na bado hajafanya uamuzi wowote juu ya maisha yake ya ndondi. Katika wiki chache zijazo atafanya uamuzi wa mwisho ikiwa atakuwa na zaidi au atastaafu" Alisema Sean Gibbons Promota wa Pacquiao.

Pacquiao aliyetangaza nia ya kugombea Urais wa Ufilipino kwenye Uchaguzi mkuu wa mwaka 2022, akitangaza kustaafu masumbwi basi pambano lake dhidi ya Yordenis Ugas wa Cuba mwezi uliopita mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kushindwa kuutetea mkana wa WBO.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala