Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pochettino ajibia suala la Mbappe kukosekana leo

Jumanne , 4th Mei , 2021

Kocha wa PSG, Mauriccio Pochettino amesema suala la nyota wake tegemezi, Kylian Mbappe kucheza ama kutocheza mchezo wa saa 4:00 usiku wa leo Mei 4, 2021 dhidi ya Manchester City kwenye nusu fainali ya mkondo wa pili bado halijafanyiwa maamuzi.

Kylian Mbappe (kushoto) na kocha wa PSG, Mauriccio Pochettino (kulia) wakiteta jambo.

Akizungumza kuhusu hali ya Mbappe, Pochettino amesema, “ Tunahitaji kumfanyia vipimo Mbappe. Ataendelea na mazoezi binafsi na tutaangalia kama anaweza kuwa sehemu ya timu. Kuna muda umesalia na tutaamua kama atakuwepo”.

Mbappe amejipambanua kama mchezaji tegemezi kwenye safu ya ushambuliaji ya PSG, kwani amefanikiwa kufunga mabao 8 na kutengeneza 3 kwenye michezo 10 aliyocheza kwenye michuano ya klabu bhingwa Ulaya, utofauti wa mabao 2 na kinara wa ufungaji Braut Haaland.

Kwa upande wa michuano yote, Mbappe ameshaifungia PSG mabao 37 na kutengeneza mengine 10 sawa na kuhusika kwenye mabao 47 katika michezo 43 aliyoichezea klabu yake hiyo ya matajiri wa jiji la Paris nchini Ufaransa kwenye michuano yote.

Kuzungumzia namna mchezo utakavyo kuwa na maandalizi yake, Pochettino amesema, “Tunahitaji kuwa tayari kuteseka kwenye nyakati fukani kimchezo, na tukipata nafasi tunapaswa kuwa watumiaji wazuri wa nafasi na kuchangamka”

“Ni mchezo ambao, dakika 90 zilimalizika tunapswa kupata ushindi wa zaidi ya mabao mawili. Kama tunahitaji kwenda fainali babsi, tunapaswa kupata ushindi wa utofauti wa mabao mawili . Hilo ndilo lengo na tutaenda kujaribu”.

Pochettino amesisitiza kuwa hawana budi kujitoa muhanga ili kupindua matokeo, “Wanafaiada ya mabao 2-1, na hatuna budi kujitoa muhanga. Tunapaswa kuwa majasiri, tutumie akili, tuamini na tuoneshe ubora wetu uwanjani”. Alimalizia hivyo, Pochettino.

PSG wanatazamiwa kumkosa kiugo wake mkabaji, Idriss Gueye Gana ambaye anakosekana kutokana na kutumikia adhabu ya kukosa mchezo mmoja kufuatia kadi nyekundu aliyooneshwa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza.

Manchester City hawana wachezaji wenye majeraha isipokuwa mlinzi chipukizi, Erick Garcia ana sumbuliwa na ugonjwa wa Malaria akiwa ndiyo mchezaji pekee atakayekosekana.

PSG ataingia na kumbukumbu yakupoteza mchezo wake wa mwisho kwenye dimba la Etihad, kwa kufungwa bao 1-0 na kuondoshwa kwenye hatua ya robo fainali Aprili 2016 kwa bao pekee la Kevin De Bruyne.
 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita