Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RollBall Tanzania waomba sapoti ya wadau nchini

Jumatatu , 20th Jun , 2016

Chama cha mchezo wa RollBall nchini Tanzania TRBA kinatarajia kuwa mwenyeji kwa mara ya kwanza wa michuano ya kimataifa ya mchezo huo kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati itakayofanyika mwezi Januari mwakani.

Wachezaji wa mchezo wa RollBall wakifanya mazoezi.

Rais wa chama cha mchezo wa RollBall Tanzania TRBA, Noel Kihunsi ametoa wito kwa makampuni na wadau wote hapa nchini kushirikiana na chama hicho katika mchakato wa kuendeleza na kukuza mchezo huo hapa nchini kama ilivyo kwa wenzetu Kenya.

Kihunsi ambaye pia ni kocha wa mchezo huo amesema Kenya kwa jinsi ilivyopiga hatua kwa kasi katika mchezo huo hasa kutokana na kuungwa mkono moja kwa moja na Serikali ya nchini hiyo ni wazi imekuwa ni nchi ya mfano na kimsingi Tanzania nayo inapaswa kuiga mwenendo huo ili kufanikiwa kupitia mchezo huo ambao sasa umeanza kuenea maeneo mengi hapa nchini.

Kihunsi amesema mchezo huo pamoja na kuwa haujaenea maeneo mengi nchini lakini umekuwa ni moja ya michezo ambayo itailetea sifa kwa haraka nchini na pia tayari umekuwa na rekodi ya kutosha kwa muda mfupi kwani tayari tangu kuasisiwa kwa mchezo huo hapa nchini miaka michache iliyopita Tanzania imeshashiriki mara mbili michuano ya dunia ikishiriki kwa mara ya kwanza michuano iliyofanyika nchini India ikishirikisha mataifa 17 wanachama wa mchezo huo na kushika nafasi ya tano.

Akimalizia Kihunsi amesema kuungwa mkono na makampuni, wadau na Serikali itakuwa fursa kwa mchezo huo ambao bado haujaenea kwa kasi katika maeneo mengi nchini kuanza kusambaa na hatimaye kuongezeka kwa washiriki na vilabu ambavyo baadaye vitashindanishwa na kupata kikosi bora cha Taifa kitakachotokana na wachezaji ambao wameshindana kuanzia ngazi za chini hadi taifa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja