Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ruvu Shooting yalia na matokeo mabaya ligi kuu

Ijumaa , 27th Jan , 2023

Klabu ya Ruvu Shooting imesema haridhishwi na mwenendo wa matokeo mabaya wanayoyapata hadi kuwafanya washike mkia kwenye msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania msimu huu wa mwaka 2022-23 kwa kuwa na alama 14 baada ya kucheza

Afisa Habari wa klabu ya Ruvu Shooting Stars, Masau Bwire amesema upinzani mgumu uliopo kwenye Ligi kuu  NBC Tanzania unawafanya wapate tabu lakini wameahidi kupambana zaidi kwani wanaimani watarejea kwenye ubora wao na kusalia ligi Kuu.

“Tuko kwenye nafasi mbaya na hatujaridhishwa kuwa katika nafasi huyo kwa sababu sio nzuri kabisa na kamwe hakuna mtu anayeridhishwa na kitu kisicho kizuri hivyo tutazidi kupambana.

“Kushindwa kupata matokeo mazuri haina maana ya kuwa timu haijitumi au shida ipo kwa walimu wao ila inatokea hivo kwa sababu ya ligi kuwa ngumu na kuwa ya ushindani wa hali ya huu hivyo kila timu inahitaji kupata ushindi ili iwe katika nafasi nzuri,” amesema Bwire.

Kwenye msimamo wa ligi kuu Ruvu Shooting inayoshika mkia ikiwa na alama 14 inahitaji kufikisha alama 23 itoke kwenye hatari ya kushuka daraja au ipate alama 6 ambazo zitawaweka kwenye nafasi ya 13 nafasi ambayo itamuwezesha kucheza michezo ya ‘Playoff’ kuwania kusalia hiyo..
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria