Mbwana Samatta, katika moja ya michezo na klabu yake ya Genk
Samatta amesema wamepangwa kundi gumu tofauti na watu wanavyofikiria.
Mchezo mwingine wa kundi hilo, Sassuolo ya Italia watakuwa wenyeji wa Athletic Bilbao ya Hispania katika Uwanja wa Citta.
Kwa upande wa kundi A, Manchester United itakuwa ugenini nchini Uholanzi kuvaana na Feyenoord.