
Kushoto ni mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu

Mlinzi wa Orlando Magic, Devin Cannady akiwa kwenye machela na kutolewa nje baada ya kuvunjika kifundo cha mguu.

Mshambuliaji wa Chelsea, Christian Pulisic akimtoka mlinda mlango wa Real Madrid ambapo alifanikiwa na kufunga bao la kwanza la Chelsea.

Picha ya aliyekuwa msanii Kali P

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mpango akifanya mazungumzo na Bibi Mary Ngelela Maganga Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Ofisini kwake Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Kikosi cha Tanzania Prisons chenye sifa ya kuzibania Simba na Yanga

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya PSG, Neymar Jr akiongea mbele ya Wanahabari.

Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo.