Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba kutumia uwanja wake msimu ujao

Jumapili , 20th Mei , 2018

Kaimu Rais ya wa klabu ya Simba Salum Abdallah amethibitisaha kwamba kuanzia msimu ujao wa ligi kuu Tanzania Bara 2018/209 klabu hiyo itaanza kutumia uwanja wake wa mazoezi.

Kaimu Rais huyo amesema hayo leo Mei 20, 2018 katika mkutanao mkuu wa dharura wa klabu hiyo katika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa kwa msimu ujao Simba itakuwa ni timu isiyokamatika kwa maendeleo

“Msimu ujao Simba haitashikika, mnaweza kuona mambo haya yamechelewa kidogo lakini tulikuwa tunajua kiu ya wanasimba ilikuwa ni ubingwa, sasa ubingwa tumeshapata, tunaenda kuleta maendeleo katika klabu yetu, msimu ujao timu itafanya mazoezi katika uwanja wetu” amesema Abdallah 

Mgeni rasmi katika mkutano huo alikua waziri wa habari, utamadunu sanaa na michezo Dkt Harrison Mwakyembe ambaye aliunga mkono mabadirko hayo kwa niaba ya serikali  na kuipongeza timu ya simba na kuomba klabu nyingine kufuata mfano kwasababu mabadiriko hayazuiliki.

Katika mabadiriko hayo wanachama wa Simba sasa watakuwa na uwezo wa kumiliki hisa 51% na mmiliki mwenye hisa nyingi ambaye ni Mohamed Dewji atamiliki 49% ya hisa katika jina la kampuni litakalojulikana kama Simba Sports Club Company Limited.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala