Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Simba waachane 'Maabara ya Kienyeji' " - Kindoki

Jumatatu , 13th Jul , 2020

Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga, Jimmy Shomari maarufu kama 'Jimmy Kindoki' amesema Simba wanapaswa kuachana na masuala ya kienyeji kwakuwa wanakwenda kuwa wa Kimataifa msimu ujao.

Jimmy Kindoki

Amesema hayo baada ya timu yake kukubali kipigo cha mabao 4-1 hapo jana kutoka kwa mahasimu wao Simba kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) katika Uwanja wa Taifa.

Kindoki amesema wao kama Yanga wamekubali kipigo hicho lakini wanakitafakari na watakilipa msimu ujao, lakini akiwapa rai Simba kuachana na masuala ya kienyeji uwanjani kwani yamewafanya wachezaji wa Yanga kuchoka.

"Wametufanyia roho mbaya sana jana, wamenifanya nilale na vidonge. Nimechukia na nasema Simba mna roho mbaya sana na hii tutakuja kulipa kisasi", amesema.

"Jana kuna namna ambayo Simba wamefanya uwanjani tunaita 'Maabara ya Kienyeji', wamefanya vitu vikubwa sana pale uwanjani ndiyo maana wachezaji wetu walikuwa wazito. Simba imesajili vizuri na inakwenda kimataifa lakini bado wanaendekeza hayo mambo", ameongeza.

Baada ya mchezo huo, sasa Simba inafuzu hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo itakutana na Namungo FC katika Uwanja wa Nelson Mandera mjini Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa na kwa maana hiyo, Yanga imekosa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria