Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wakutana na wapinzani wa Yanga

Jumatano , 16th Mei , 2018

Kuelekea mchezo wa leo wa Kombe la shirikisho barani Afrika hatua ya makundi kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda, kocha msaidizi wa Simba Masoud Djuma na kiungo Haruna Niyonzima wameitembelea Rayon kambini.

Wawili hao wameitemebelea kambi ya Rayon Sports, huku wakiacha maswali mengi kwa mashabiki wa soka nchini wengi wakiamini kuwa wamepeleka mbinu za namna ya kucheza na Yanga kwasababu wao wanaifahamau vizuri Yanga ya msimu huu.

Haruna Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda amewahi kuwa mchezaji wa Rayon Sports kati ya miaka ya 2006 - 2007 kabla ya kujiunga na APR na baadae Yanga ambayo aliichezea hadi msimu uliopita hivyo ameitembelea klabu yake ya zamani.

Kwa upande wake kocha Masoud Djuma naye ameitembelea klabu yake hiyo ya zamani ambayo msimu uliopita kabla ya kutua Simba ndiye alikuwa kocha mkuu wa Rayon Sports na aliipa ubingwa wa Rwanda.

Mchezo huo utapigwa usiku kuanzia saa 1:00, kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaa. Yanga inashika mkia ikiwa haina alama huku Rayon Sports inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 1 kwenye kundi D linaloongozwa na U.S.M Alger yenye alama 3 na Gor Mahia alama 1.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria