Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yabananishwa kabla ya mechi na JS Saoura

Jumatano , 13th Feb , 2019

Baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mechi ya 4 ya kundi D, Ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya soka ya Simba itakuwa na ratiba ngumu katika mechi zake zijazo.

Kocha wa Simba Patrick Aussems

Baada ya mechi ya jana, Simba imeanza maandalizi tayari kwa mchezo wake wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya mahasimu wao Yanga ambao utapigwa 16/02/2019 kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Baada ya hapo Simba itasafiri Jumapili kwenda Arusha ambapo itafanya mazoezi kwa siku moja kabla ya mechi yake dhidi ya African Lyon itakayopigwa 19/02/2019.

Kisha itarejea Dar es salaam na kujianda kwa siku moja kisha kushuka dimbani 22/02/2019 dhidi ya Azam FC. Baada ya mchezo huo kesho yake inasafiri kwenda Iringa na inakuwa na siku 2 za mazoezi ambapo itacheza 26/02/2019 dhidi ya Lipuli FC.

Kisha itaunganisha kwenda Shinyanga na itakuwa na siku 2 tu za mazoezi kabla ya 03/03/2019 kuivaa Stand United.

Baada ya mechi hiyo Simba itarudi Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya safari ya kwenda Algeria 06/03/2019 ambapo itasafiri kwenda kucheza na JS Saoura Machi 9/2019.

Simba sasa inashika nafasi ya pili kwenye Kundi D ikiwa na alama 6 nyuma ya Al Ahly yenye alama 7 huku JS Saoura wakishika nafasi ya tatu wakiwa na alama 5 na AS VItal wakishika mkia wakiwa na alama zao 4.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria