Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yagawa kichapo kwa Waarabu

Jumamosi , 12th Jan , 2019

Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi Klabu Bingwa Barani Afrika.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mohammed Dewji wakiwa uwanjani.

Mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Taifa umeshuhudia Simba ikiichapa JS Saoura ya Algeria kwa mabao 3-0 na kujikusanyia pointi tatu zinazowaweka juu ya kundi lao lenye timu nne.

Mabao ya Simba yamepachikwa kimiani na Emmanuel Okwi katika dakika ya 45+2 huku bao la pili na la tatu yakifungwa na mshambuliaji Meddie Kagere katika dakika ya 51 na 67, na kushuhudia shangwe kubwa msimbazi.

Mchezo huo pia ulihudhuriwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye asubuhi alikuwa Kisiwani Pemba katika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, lakini hakukubali kupitwa baada ya kuunganisha moja kwa moja uwanjani hapo.

Pia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikuwa sambamba na mwekezaji wa klabu hiyo, bilionea Mohammed Dewji 'Mo' pamoja na mgeni rasmi, ambaye ni Naibu Spika, Tulia Ackson.

Simba inashiriki hatua ya makundi kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003 na hatua kubwa zaidi iliyowahi kufikia katika michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika ni hatua ya fainali mwaka 1993 ambapo ilipoteza dhidi ya Stella Adjamé ya Ivory Coast.
 

HABARI ZAIDI

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita