Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yakana kumfanyia kufuru Dewji

Jumanne , 15th Aug , 2017

Msemaji wa Simba Haji Manara amefunguka na kusema klabu ya  Simba haijafanya usajili kwa kufuru ya pesa za mfanya biashara Mohamed Dewji bali ni utaratibu uliopo miaka yote kwa ajili ya kutafuta wachezaji wazuri.

Akizijibu tuhuma kuhusu Klabu ya Simba kujiendesha kwa hasara huku ikijua wazi haina vyanzo vingine vya mapato, Manara amesema kuwa kwa Tanzania klabu karibu zote zinajiendesha kwa hasara.

"Hakuna Klabu isiyojiendesha kwa hasara hapa nchini hilo linajulikana na siyo kwa Simba tu. Tunafanya mipango mingi kwa ajili ya kujikwamua katika hili. Siyo kweli kwamba Simba imetumia gharama kubwa za usajili kwa kuwa kuna pesa za Dewji. Muda mrefu tumekuwa tukifanya usajili wa aina hii sasa sifahamu hayo maneno yametoka wapi" Manara.

Katika hatua nyingine Manara amekanusha minong'ono yakwamba Mfanyabiashara huyo akijitoa Simba itashindwa kusimama imara.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi