Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yasaka mshambuliaji Hispania

Jumatano , 5th Jun , 2019

Katika kuboresha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa soka, klabu ya soka ya Simba imeelezwa kuwa ipo kwenye mawindo ya kupata sahihi ya mshambuliaji wa Tanzania anayekipiga Hispania Shabaan Chilunda.

Kocha wa Simba Patrick Aussems

Inadaiwa kuwa mwisho wa msimu huu wa 2018/19 Chilunda ambaye alikuwa anacheza Tenerife ya ligi daraja la kwanza Hispania, amevunja mkataba na timu hiyo.

Chilunda alikuwa akicheza kwa mkopo wa miaka miwili akitokea Azam FC, lakini anaelezwa kuvunja mtakaba wake baada ya msimu wa kwanza mambo kutomwendea vizuri ikiwemo kukosa nafasi ya uhakika ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza.

Baada ya taarifa hizo za Chilunda kuvunja mkataba, Simba imeelezwa kuwa na nia ya kumsajili mshambuliaji huyo ambaye amewahi kuwa mfungaji bora wa klabu bingwa Afrika mashariki na kati.

Chilunda kwa sasa yupo kwenye kambi ya Taifa Stars inayojiandaa kwa ajili ya maandalizi ya fainali za AFCON 2019, zitakazofanyika nchini Misri kuanzia Juni 21 hadi Julai 19.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani