Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United ni kiboko, yasajili kikosi kizima 

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Ikiwa ziimepita siku mbili tangu dirisha dogo la usajili Tanzania kufungwa, tumeshuhudia klabu kadhaa zikifanya mabadiliko ya vikosi yao kwa kuongeza baadhi ya wachezaji na kuwaleta wengine wa kuziba nafasi hizo.

Baadhi ya wachezaji wa Singida United

Klabu kubwa za Tanzania, Azam FC, Yanga na Simba zimefanya mabadiliko kadhaa ya vikosi vyao, ambapo Yanga imesajili wachezaji sita wapya, Simba ikisajili wachezaji wawili na Azam FC ikisajili wachezaji wawili.

Klabu ya Singida United imetia fora kwenye dirisha hili la usajili, ikiwa imesajili jumla ya wachezaji 11 ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao baada ya kugundua kuwa katika mzunguko wa kwanza kikosi chao kilikuwa dhaifu kwani kilikuwa na vijana wengi.

Wachezaji waliosajiliwa na Singida United ni George Sangija, Raphael Daud, Haruna Moshi Boban, Tumba Swedi, Haji Mwinyi, Owen Chaima, Ame Ally, Six Mwasekaga, Athumani Idd Chuji na Cleofas Sospeter.

Singida United iko katika nafasi ya 19 ya msimamo wa ligi kwa pointi 11, ikiwa imeshuka dimbani mechi 16 na kushinda mechi mbili pekee, ikifungwa mechi tisa na droo tano. Ikumbukwe kuwa msimu huu zitashuka jumla ya timu sita za ligi kuu huku zikipanda timu mbili pekee, kwakuwa msimu ujao ligi kuu Tanzania Bara itahusisha timu 16.

 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani