Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Team Kiza na Portland kujitetea leo

Jumamosi , 4th Aug , 2018

Nusu fainali ya Sprite Bball Kings inaendelea leo Agosti 4, kwenye uwanja wa ndani wa taifa ambapo 'game 2' zitapigwa huku timu za Team Kiza na Portland zikiwa na nafasi moja tu ya kusawazisha au kuaga mashindano baada ya kupoteza 'game 1'.

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars (kijani) na Portland (nyeupe kwenye nusu fainali game 1.

Team Kiza wanaingia uwanjani dhidi ya Flying Dribblers wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza 'game 1' kwenye zile 'best of three' kwa pointi 84 kwa 70, hivyo leo watakuwa wanatafuta ushindi pekee ili kufufua nafasi yao ya kucheza fainali.

Kama watafanikiwa kushinda leo basi watafanya nusu fainali iende  hadi 'game 3' ambapo mshindi ndio atakwenda fainali. Endapo Flying Dribblers watashinda leo watakwenda fainali kwa mara ya kwanza baada ya mwaka jana kutolewa katika nusu fainali na Mchenga Bball Stars.

Kwa upande wa Portland nao wapo kwenye mtihani kama wa Team Kiza baada ya kuruhusu kufungwa  pointi 70 kwa 54 na Mchenga Bball Stars kwenye 'game 1' ya 'best of three'. Leo wanahitaji matokeo ya ushindi pekee ili kuitafuta game 3 ambayo itaamua timu gani inakwenda fainali.

Mechi za leo zinaanza saa 10:00 jioni zikiambatana na burudani mbalimbali ikiwemo muziki pamoja na kinywaji baridi cha Sprite ambao ndio wadhamini wa michuano hii. Watakaofuzu fainali watakwenda kupigania milioni 10 kwa bingwa na milioni 3 kwa makamu bingwa pamoja na milioni 2 kwa MVP. 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala