
Kikosi cha Cameroon baada ya kuinyuka Ivoery Coast kwa kuichapa bao 1-0
Bao pekee na la ushindi la Cameroon lilifungwa na Karl Toko Ekambi ambaye anakipiga na Klabu ya Lyon ya Ufaransa na sasa Indomitable Lion wanafuzu kwa mara ya 7 katika hatua hiyo ikiwa ni rekodi kwa bara Afrika.
Mataifa yaliyofuzu hatua ya mtoano ni Senegal,Morocco,Algeria ,Nigeria, Misri,Cameroon,Mali,Ghana na DR Congo ambazo zitapagiwa droo mnamo Mwezi machi mwaka 2022.