Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tunakwenda kuchukua ushindi'' - Flying Dribblers

Ijumaa , 10th Aug , 2018

Kocha msaidizi wa timu ya Kikapu ya Flying Dribblers ambayo imetinga fainali ya michuano ya Sprite Bball Kings, Geoffrey Lea, amewataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi Agosti 18 kwenye uwanja wa ndani wa taifa kwani wataondoka na ushindi dhidi ya Mchenga Bball Stars.

Flying Dribblers kwenye mechi yao ya game 2 nusu fainali dhidi ya Team Kiza.

Lea amesema timu yake inaendelea na mazoezi kwaajjili ya fainali ambayo wanakutana na mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars katika mechi 5 za fainali ambazo zitaamua timu gani inaondoka na kitita cha shilingi milioni 10 kwa bingwa na milioni 3 kwa mshindi wa pili.

''Tumeshajua tutacheza na nani kwahiyo tunachofanya ni kuandaa vizuri kikosi chetu ili tuanze kwa ushindi, kikubwa tu mashabiki wajitokeze kwa wingi uwanjani sisi kama Flying Dribbllers hatutawaangusha'',- amesema.

Fainali ya Flying Dribblers na Mchenga ni kumbukumbu ya nusu fainali ya mwaka jana katika michuano hii inayoandaliwa na East Africa Television na kudhaminiwa na kiywaji cha Sprite. Katika nusu fainali hiyo Flying Dribblers ilitupwa nje ya mashindano na Mchenga kwenda fainali ambako walitwaa ubingwa.

Kocha msaidizi wa Flying Dribblers Geoffrey Lea kwenye mahojiano na East Africa Television.

Mechi za fainali zitaanza kupigwa Jumamosi Agosti 18 kwenye uwanja wa taifa wa ndani kabla ya mechi ya pili kupigwa Agosti 22 kwenye viwanja vya Don Bosco na game 3 itapigwa Agosti 25 uwanja wa ndani. Kama bingwa hatapatikana game 4 itapigwa Agosti 29 Don Bosco na game 5 itamalizika Septemba 1 uwanja wa ndani.
 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera