Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchaguzi TFF wapamba moto

Jumatano , 21st Jun , 2017

Shirikisho la Soka nchini TFF, Kamati ya Uchaguzi imeanza kupitia fomu za wagombea hao kwa ajili ya kuanza zoezi la mchujo na kwa wale ambao hawana vigezo watajulishwa kabla ya mchakato kuendelea.

Rais wa TFF, Jamal Malinzi

Afisa habari wa TFF Alfredy Lucas amesema mara baada ya zoezi hilo kukamilika wagombea ambao watawekwa kando katika uchaguzi huo watajulishwa kabla ya kuendelea na mchakato unaofuata ndani ya Kamati ya uchaguzi.

“Mara baada ya wanafamilia 74 kumaliza zoezi la kuchukua na kurudisha fomu hapo jana ambapo 10 wanawania nafasi ya Rais, sita nafasi ya makamu na 58 wanawania Ujumbe wa kamati ya utendaji. Kinachoendelea kwa sasa ni kwa kamati ya uchaguzi ya TFF kuanza kupitia fomu moja baada ya nyingine na lengo likiwa ni kufanya mchujo wa awali kwa vile vitu vinavyohitajika kwenye fomu kama havijatimia, ” amesema Alfredy Lucas.

“Maana yake ni kwamba mgombea huyo anawekwa kando lakini wakati huo kwa mujibu wa kanuni ya 11 kipengele cha kwanza ya uchaguzi wa TFF watajulishwa kwa barua rasmi kwamba sababu hasa za kuwekwa kando ni nini na kama ataweza kukata rufaa ni sawa, lakini walishaelekezwa nini cha kufanya na kila mmoja ameweza kutimiza kile alichotakiwa kukifanya mpaka jana lakini kwa sasa tuiache kamati kwa siku hizi tatu kwa maana leo, kesho na kesho kutwa na baadae tutatoa taarifa au kubandikwa kwenye mbao za matangazo kile ambacho kimeonekana kwenye mchujo huu wa awali wa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa TFF, ” amesema Alfredy Lucas.

Nafasi ya Urais inawaniwa na Jamal Malinzi, Imani Madega, Wallace Karia, Fredrick Masolwa, Athumani Nyamlani, Fredrick Mwakalebela, John Kijumbe, Shija Richard, Ally Mayay na Emmanuel Kimbe.

 

 

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya