Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utabiri wa Bongozozo mechi ya Stars,ataja mfungaji

Ijumaa , 15th Nov , 2019

Shabiki wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' aliyejizolea umaarufu hivi sasa hapa nchini, Nicky, maarufu kama 'Bongozozo' ametoa utabiri wake kuelekea mchezo wa leo wa Taifa Stars dhidi ya Equitorial Guinea pamoja na mfungaji.

Bongozozo akizungumzia mchezo wa Taifa Stars na Equitorial Guinea.

Mchezo huo utapigwa katika uwanja wa taifa, ikiwa ni kuwania kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2021 nchini Cameroon.

Akizungumza na EATV & Radio Digital, Bongozozo amesema kuwa angependa Stars ishinde mabao manne au hata sita ili afurahi na kumtaja mshambuliaji Farid Mussa kuwa ndiye atakuwa mfungaji wa leo kwenye mchezo huo.

"Ni muhimu sana uende uwanjani au usikilize na ufurahie mpira, ni kama sherehe fulani. Leo tutashinda magoli mengi tena itakuwa bila, inaweza kuwa tatu bila, mbili bila au ingekuwa sita bila ingekuwa balaa, lakini ninavyotabiri itakuwa mbili bila kwakuwa Kaseja hapitiki pale.", amesema Bongozozo.

"Farid Mussa anafunga leo, nilienda kuonana naye nikampa ngucu za Bongozozo ili awe na nguvu na uchangamfu wa kufunga.", ameongeza.

Mchezo huo unatarajia kupigwa saa 1:00 usiku wa leo, na kauli mbiu ya kila mtanzania kuelekea mchezo huo ikiwa ni 'TwenzetuTena'.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani